Kijirel

Kijirel ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Nepal inayozungumzwa na Wajirel. Mwaka wa 2011 idadi ya wasemaji wa Kijirel imehesabiwa kuwa watu 4830. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kijirel iko katika kundi la Kibodish.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search